Wednesday, July 2, 2014

RATIBA YA JULAI 2014/ JULY 2014 TIMETABLE





TAREHE/DATE
DAY/SIKU
OMBI/PRAYER ITEM
1
TUESDAY/
JUMANNE

1. Pray that many people of Zanzibar get saved in truth and spirit.

2. Pray for MANYARA region.
...................................................................

1.  Tuombe watu waokoke kwa wingi na katika roho na kweli
    huko Zanzibar

2.  Ombea mkoa wa MANYARA

2
WED’DAY/
JUMATANO

1. Pray that God uplifts the pastors who preach the gospel
     with a whole heart, but their life standard is very low.
2. Pray for MARA region.

..............................................................................

1. Bwana Mungu awakumbuke wachungaji wanaojitoa
    kutumika lakini hali zao kimaisha ni za chini.

2.  Ombea mkoa wa MARA

3
THURSDAY/
ALHAMISI


1. Pray that we get the leaders who practice justice to
     majority Tanzanians in 2015.
2. Pray for KILIMANJARO region.

.....................................................................

1.  Mungu atupe viongozi wanaotenda haki kwa watanzania
     mwaka 2015

2.  Ombea mkoa wa KILIMANJARO.

4
FRIDAY /
IJUMAA

1. Pray that the parliament should not pass resolutions in
    favour of the few especially our selfish leaders. The parliament
    should consider the majority who are poor.
    
2. Pray for GEITA region.

..............................................................................

1.  Kemea bunge lisipitishe matakwa ya wachache hasa walio
      madarakani. Bunge lithamini maoni ya wananchi walio wengi.
      Bunge liwatazame maskini na wanyonge kwa uzito zaidi

2.  Ombea mkoa wa GEITA.

5
SATURDAY/
JUMAMOSI



1. Pray that the people who steals government money, as well
     as those who practice corruption.
2. Pray for SIMIYU region.

.................................................................................

1.  Watendaji wala rushwa na mafisadi wafichuke na kuchukuliwa
      hatua

2.  Ombea mkoa wa SIMIYU.





TAREHE/
DATE
DAY/SIKU
OMBI/PRAYER ITEM
6
SATURDAY/
JUMAMOSI


Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

7
SUNDAY/
JUMAPILI

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

8
MONDAY/
JUMATATU

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

9
TUESDAY/
JUMANNE

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

10
WED’DAY/
JUMATANO

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

11
THURSDAY
/ALHAMISI


Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

12
FRIDAY /
IJUMAA

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

13
JUMAMOSI/
SATURDAY

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.

14
SUNDAY/
JUMAPILI

Pray for mercy. Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which will be taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered. Pray that secret meetings made by some people for the purpose of burning the churches and killing of Christians to be unveiled before they mature. All bad things in TANESCO to be unveiled and people concerned to be taken to the court. Top officials who cause or caused the education system of Tanzania to become worse to resign and proper measures to be taken.

Omba rehema kuhusu mambo mabaya yanayoendelea Tanzania. Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vitakavyofanyika huko Dodoma . Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele. Omba kwamba vikao vya siri vinavyofanywa na watu Fulani kwa nia ya kuchoma makanisa au kuua wakristo vifichuke kabla ya malengo yao mabaya kutimia. Ufisadi TANESCO ufichuliwe kabisa na wahusika wachukuliwe hatua za kisheria. Waliosababisha au wanaosababisha elimu ya Tanzania kuwa mbovu huko serikalini wawajibishwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.






TAREHE/DATE
DAY/SIKU
OMBI/PRAYER ITEM
15



TUESDAY/
JUMANNE

Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete.  Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii Ndiyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

16


WED’DAY/
JUMATANO

Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

17
THURSDAY/
ALHAMISI


Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

18
FRIDAY /IJUMAA

SUNDAY/
JUMAPILI




Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

19
SATURDAY/
JUMAMOSI





Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

20

SUNDAY/
JUMAPILI

Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

21

MONDAY/
JUMATATU

Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

22
TUESDAY/
JUMANNE



Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

23
WED’DAY/
JUMATANO



Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

24
THURSDAY/
ALHAMISI


SATURDAY/
JUMAMOSI


Repenting for Tanzania. Repenting for president Kikwete. Repenting for the Parliament. Repenting for all ministers. Because of these leaders we are in much trouble. Everything rise or fall under leadership. This is a true principle in our lives. All these leaders should act in the right way/

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Tubu kwa ajili ya Rais Kikwete. Tubu kwa ajili ya bunge. Tubu kwa ajili ya baraza la mawaziri. Tupo katika matatizo kwa sababu ya viongozi tulionao. Kila kitu kitafanikiwa au kitashindwa kwa sababu ya uongozi uliopo. Hii diyo kanuni ya kweli katika maisha ya namna zote. Omba kwamba viongozi hawa wafanye mambo sahihi na kwa usahihi.

25
FRIDAY /IJUMAA

Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which are taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered/

Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vinavyoendelea huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele.






TAREHE/DATE
DAY/SIKU
OMBI/PRAYER ITEM
26
SATURDAY/
JUMAMOSI




Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/

Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.

27
SUNDAY/
JUMAPILI


Pray for peace in Tanzania. Pray against religious conflicts in Tanzania./

Ombea amani ya Tanzania. Omba kukemea machafuko ya kidini Tanzania
28
MONDAY
/JUMATATU

Repenting for Tanzania. Praying for peace. Pray against the killing of pastors, Christians. Pray against the burning of churches in Tanzania. Pray for peaceful political meetings or activities./

Tubu kwa ajili ya Tanzania. Omba amani katika nchi ya Tanzania. Omba kukemea mauaji ya mapadre na wachungaji na wakristo kutokana na watu wanaodhaniwa kuwa ni waislamu wenye msimamo mkali. Omba amani itawale kwenye mikutano na shughuli zozote za kisiasa au vyama vya siasa.

29
TUESDAY/
JUMANNE



Pray for the Tanzania parliament. All discussions and decisions should be done in favour of the poor majority and the church of Jesus Christ. Pray for the process of having a fair and democratic constitution. Currently about 80% of the delegates in that process are Muslims. Pray that the constitution should not include the wants of either religion. Pray against OIC and the court of Kadhi, and sharia. Pray for Taifa Stars(Tanzania soccer national team) to win its matches


Ombea vikao vya bunge. Mijadala yote humo bungeni iwe kwa maslahi ya wanyonge walio wengi na kanisa la Yesu Kristo. Omba kwamba tupate katiba mpya iliyo safi nay a kidemokrasia. Kwa sasa inasemekana asilimia zipatazo 80 ya wajumbe waliomo kwenye mchakato wa katiba mpya ni waislamu. Omba kwamba katiba mpya isipendelee matakwa ya dini yoyote ile, iwe mwanana. Omba kuzuia mambo ya Tanzania kujiunga na OIC na kuanzisha mahakama ya kadhi na kutumia shria za kiislamu. Ombea Taifa Stars ishinde mechi zake.

30

WED’DAY/
JUMATANO

Pray for the Tanzania parliament. All discussions and decisions should be done in favour of the poor majority and the church of Jesus Christ. Pray for the process of having a fair and democratic constitution. Currently about 80% of the delegates in that process are Muslims. Pray that the constitution should not include the wants of either religion. Pray against OIC and the court of Kadhi, and sharia. Pray for Taifa Stars(Tanzania soccer national team) to win its matches./

Ombea vikao vya bunge. Mijadala yote humo bungeni iwe kwa maslahi ya wanyonge walio wengi na kanisa la Yesu Kristo. Omba kwamba tupate katiba mpya iliyo safi nay a kidemokrasia. Kwa sasa inasemekana asilimia zipatazo 80 ya wajumbe waliomo kwenye mchakato wa katiba mpya ni waislamu. Omba kwamba katiba mpya isipendelee matakwa ya dini yoyote ile, iwe mwanana. Omba kuzuia mambo ya Tanzania kujiunga na OIC na kuanzisha mahakama ya kadhi na kutumia shria za kiislamu. Ombea Taifa Stars ishinde mechi zake

31
THURSDAY/
ALHAMISI


Pray for the Tanzania parliament. All discussions and decisions should be done in favour of the poor majority and the church of Jesus Christ. Pray for the process of having a fair and democratic constitution. Currently about 80% of the delegates in that process are Muslims. Pray that the constitution should not include the wants of either religion. Pray against OIC and the court of Kadhi, and sharia. Pray for Taifa Stars(Tanzania soccer national team) to win its matches./


Ombea vikao vya bunge. Mijadala yote humo bungeni iwe kwa maslahi ya wanyonge walio wengi na kanisa la Yesu Kristo. Omba kwamba tupate katiba mpya iliyo safi nay a kidemokrasia. Kwa sasa inasemekana asilimia zipatazo 80 ya wajumbe waliomo kwenye mchakato wa katiba mpya ni waislamu. Omba kwamba katiba mpya isipendelee matakwa ya dini yoyote ile, iwe mwanana. Omba kuzuia mambo ya Tanzania kujiunga na OIC na kuanzisha mahakama ya kadhi na kutumia shria za kiislamu. Ombea Taifa Stars ishinde mechi zake





BE BLESSED.









No comments:

Post a Comment